Novak Djokovich
Mandhari
| Novak Djokovich | |
|---|---|
| | |
| Alizaliwa | 22 Mei 1987 Serbia |
| Kazi yake | michezo - tenisi |
Novak Djokovich (22 Mei 1987, Belgrad; Kiserbia: Новак Ђоковић, Novak Đoković) ni mchezaji wa tenisi kutoka Serbia. Alishinda mashindano matano ya Grand Slam. Mwaka 2012 Djokovich alikuwa mchezaji bora duniani kwenye orodha ya ATP.[1]
Grand Slam
[hariri | hariri chanzo]Picha nyumba ya sanaa
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ ATP World Rankings 2 Desemba 2012.
Viungo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]- Profile at ATP
- Profile at ITF
- Profile at Davis Cup Ilihifadhiwa 3 Julai 2016 kwenye Wayback Machine.
