Novak Djokovich

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Novak Djokovich
Novak Djokovich 2011
Novak Djokovich 2011
Alizaliwa 22 Mei 1987 Serbia
Kazi yake michezo - tenisi

Novak Djokovich (22 Mei 1987, Belgrad; Kiserbia: Новак Ђоковић, Novak Đoković) ni mchezaji wa tenisi kutoka Serbia. Alishinda mashindano matano ya Grand Slam. Mwaka 2012 Djokovich alikuwa mchezaji bora duniani kwenye orodha ya ATP.[1]


Grand Slam[hariri | hariri chanzo]

Picha nyumba ya sanaa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. ATP World Rankings 2 Desemba 2012.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons