Nenda kwa yaliyomo

Neuwied

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya mji wa Neuwied
Neuwied
Nchi Ujerumani
Jimbo Rhine-Palatino
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 64.591
Tovuti:  http://www.neuwied.de/

Neuwied ni mji wa Rhine-Palatino nchini Ujerumani ya Magharibi. Idadi ya wakazi wake ni takriban 64.591.

Neuwied ipo Mstari wa reli wa Rhine mashariki, luna huduma za RE8 (Koblenz- Monechengladbach) RB10 (Neuwied - Koblenz- Wiesbaden - Frankfurt na ya RB27 kutoka Koblenz to Monechengladbach via Köln.

Pia kata ya Engers ni mwanzo ya Mstari ya reli Engers - Au (Sieg).


Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Neuwied kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.