Netflix

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Netflix ni kampuni ya Marekani inayotoa huduma ya kutazama filamu na vipindi vya runinga kupitia intaneti.

Wateja wananunua huduma kwa muda wa miezi fulani halafu wanaweza kutazama filamu zilizomo katika hazinadata ya Netflix.

Mteja hawezi kupakua media hizo yaani hawezi kubaki na nakala ya filamu bali anaiangalia moja kwa moja.

Kwenye mwaka 2021 Netflix ilikuwa na wateja milioni 209 kote duniani[1][2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.