Ndiole Sène

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ndiole Sène (alizaliwa 7 Februari 2003) ni mwanamke mchezaji wa mpira wa mkono kutoka Senegal anayechezea timu ya Espoir du Walo pamoja na timu ya taifa ya Senegal.[1]

Alishiriki katika Mashindano ya Dunia ya Mpira wa Mkono ya Wanawake ya 2019 huko Japan..[2]

Merejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Player Details Senegal – Ndiole Sène". International Handball Federation. 
  2. "2019 Women's World Handball Championship; Japan – Team Roster Senegal". International Handball Federation. Iliwekwa mnamo 1 June 2020.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ndiole Sène kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.