Namarunu
Jump to navigation
Jump to search
Mlima Namarunu ni volkeno ya kale yenye kimo cha mita 817 juu ya UB. Volkano hiyo iko kwenye Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki. [1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Woolley 2001, p. 108-109.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Namarunu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |