Namarunu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mlima Namarunu ni volkeno ya kale yenye kimo cha mita 817 juu ya UB. Volkano hiyo iko kwenye Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki, kaunti ya Turkana. [1]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Woolley 2001, p. 108-109.