Musa Sukwene

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Musa Sukwene ni mwimbaji nchini Afrika Kusini, asili yake ni Witbank jimbo la Mpumalanga, alishinda msimu wa tisa wa ,mashindano ya Idols Afrika Kusini mwaka 2013. [1] Tarehe 3 Disemba ilibainika kuwa Sukwene alikuwa amesainiwa na About Entertainment. [2]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Mnamo 2016, albamu yake ya pili ya studio Mr. Serious ilitolewa [3] [4] na baadae iliidhinishwa na hadhi ya platinamu mara tatu kwa mauzo ya nakala 90,000.

Orodha ya kazi za muziki[hariri | hariri chanzo]

Albamu za studio[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]