Mtoto wa jicho
Jump to navigation
Jump to search
Mtoto wa jicho (kwa Kiingereza: cataract) ni ugonjwa ambao hutokea pale ambapo lenzi ya jicho inakuwa na hali ya uwingu. Mtoto wa jicho inaweza kusababisha uoni mfupi (myopia), ambayo inamaanisha huwezi kuona vitu mbali lakini unaweza kuona vitu karibu.
Ikiwa haitatibiwa kwa upasuaji, baadhi ya aina za mtoto wa jicho zinaweza kusababisha upofu (maana yake huwezi kuona kitu chochote). Ugonjwa huu unaweza kutibika kwa kubadilisha lenzi asili na kuweka nyingine ya plastiki kwa njia ya upasuaji mdogo.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mtoto wa jicho kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |