Mto Rusizi Runini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Rusizi Runini (pia: Grande Rusizi, yaani Rusizi Mkubwa) unapatikana nchini Burundi (mkoa wa Bujumbura Vijijini na mkoa wa Bujumbura Mjini).

Maji yake huelekea Ziwa Tanganyika, Mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Burundi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Rusizi Runini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.