Mto Oli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Benin Kaskazini ikiwa na mto Oli kusini mashariki.

Mto Oli ni mto unaopatikana katika nchi ya Nigeria na Benin. Ni tawimto la Mto Niger.[1]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Oli kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.