Mto Ishasha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda.

Mto Ishasha unaanzia nchini Uganda (wilaya ya Kabale) na kuwa sehemu ya mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Unachangia ziwa Edward ambalo kupitia mto Semliki linapeleka maji yake katika ziwa Albert na hatimaye katika mto Naili.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Ishasha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.