Mto Grande

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mto Grande
Mto Grande (Marekani)
Mto Bravo (Mexiko)
Mto Grande/Mto Bravo katika jimbo la Colorado, New Mexico na Texas katika Marekani; na Chihuahua, Coahuila, Nuevo León na Tamaulipas katika Mexiko
Chanzo Hinsdale County, Colorado
Mdomo Ghuba ya Mexiko mjini Brownsville na Matamoros
Nchi Marekani na Mexiko
Urefu 3,034 km
Kimo cha chanzo 3,900 m
Tawimito upande wa kulia Mto Conchos, Mto Sabinas
Tawimito upande wa kushoto Mto Pecos, Mto Devils
Mkondo 160 m³/s
Eneo la beseni 607,965 km²
Miji mikubwa kando lake Albuquerque, El Paso, Ciudad Juárez, Laredo, Nuevo Laredo, Brownsville, Matamoros
Mto Grande/Mto Bravo katika Big Bend National Park, Texas

Mto Grande ni mto ya Marekani na Mexiko.


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Grande kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.