Laredo, Texas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Laredo)


Laredo
Laredo is located in Marekani
Laredo
Laredo

Mahali pa mji wa Laredo katika Marekani

Majiranukta: 27°31′28″N 99°29′26″W / 27.52444°N 99.49056°W / 27.52444; -99.49056
Nchi Marekani
Jimbo Texas
Wilaya Webb
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 233,152
Tovuti:  www.laredotexas.gov
Laredo, Texas, Mto Grande na Nuevo Laredo, Tamaulipas

Laredo ni mji wa Marekani katika jimbo la Texas. Mji upo m 137 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao 718,000 wanaoishi katika mji huu.

Kisha kuanzishwa mnamo 1755, Laredo ilikua kutoka kuwa kijiji hadi kuwa mji mkuu wa Jamhuri ya muda mfupi ya Rio Grande. Leo ni bandari kubwa zaidi ya ndani kwenye mpaka wa Mexico. Uchumi wa Laredo kimsingi unategemea biashara ya kimataifa na Mexico. Barabara kuu ya I-35, inaunganisha Laredo na maeneo mengine ya Marekani. Hii huwasaidia watengenezaji wa bidhaa kaskazini mwa Mexico kama njia kuu ya biashara hadi Marekani.

Laredo ina madaraja manne ya kimataifa: 2 kwa abiria, 1 kwa shehena ya biashara ya kimataifa, na 1 kwa reli.

Hali ya hewa ya Laredo haipatwi na halijoto ya joto sana wakati wa kiangazi na halijoto ya wastani wakati wa majira ya baridi. Hali ya hewa inachukuliwa kuwa ya joto kidogo.


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Laredo, Texas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.