Msamaha (sheria)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Msamaha (kwa Kiingereza: Amnesty) ni msamaha unaotolewa na serikali kwa kikundi cha watu, kwa kawaida kwa ajili ya makosa ya kisiasa;[1] kitendo cha mamlaka huru kusamehe kikundi cha watu fulani ambao wamefunguliwa mashitaka ila bado hawajahukumiwa. Japo neno Msamaha wa jumla lina maana sawa.[2] Amnesty inajumuisha zaidi ya msamaha, kwa kiasi inafuta ukumbusho wote wa kosa. Hii inazidi kutumika kuelezea wazo la uhuru na kurejea pale wafungwa wanapoachwa huru.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Amnesty", 1911 Encyclopædia Britannica, Volume 1, iliwekwa mnamo 2022-08-15 
  2. "GENERAL PARDON Definition & Meaning - Black's Law Dictionary". The Law Dictionary (kwa en-US). 2013-03-28. Iliwekwa mnamo 2022-08-15. 
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Msamaha (sheria) kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.