Mont Blanc de Courmayeur

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima wa Mont Blanc de Courmayeur

Mont Blanc de Courmayeur ni mlima wa Alpi kati ya nchi za Italia na Ufaransa (Ulaya).

Urefu wake ni mita 4,748 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]