Mnara wa taa wa Ponta Preta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mnara wa taa wa Ponta Preta ni mnara wa taa uliopo kaskazini magharibi mwa kisiwa cha Santiago kilichopo nchini Cape Verde. Mnara huo wa taa ulijengwa mnamo mwaka 1889. Mnara huo wa taa uliwekwa kwenye stempu ya Cape Verde mnamo mwaka 2004 kama alama ya stempu hiyo.[1]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya njee[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Angola bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mnara wa taa wa Ponta Preta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.