Mmenyuko wa kikemia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mmenyuko wa kikemia, (pia utendanaji wa kikemia[1]; kwa Kiingereza: chemical reaction) ni mchakato ambao unasababisha mabadiliko ya dutu ya kikemia kuwa dutu tofauti.

Mfano mmojawapo ni moto (mmenyuko kati ya oksijeni hewani na kampaundi za kaboni).

Kimsingi katika mimenyuko hiyo elektroni za dutu zinazotendana zinahama na kuunda au kuondoa muungo kemia kati ya atomu husika. Mchakato ama unahitaji nishati au unaachana na nishati. Viini vya atomu havibadiliki isipokuwa kama elementi zinazoshiriki ni nururifu na nzito sana na hivyo si thabiti.

Kama inavyoonekana kutoka mlinganyo CH </br> CH + 2 O </br> O → CO </br> CO + 2 H </br> H O, mgawo wa 2 lazima uwekwe mbele ya gesi ya oksijeni upande wa wahasibu na mbele ya maji upande wa bidhaa ili, kwa mujibu wa sheria ya utunzaji wa wingi, idadi ya kila kitu haibadiliki wakati wa athari.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Istilahi hizi bado zinajadiliwa; kamusi ya KKS inatumia "mmenyuko"; KBFK inatumia "utendanaji"

Marejeo zaidi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mmenyuko wa kikemia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.