Mlima Kipipiri

Majiranukta: 0°26′15″S 36°32′34″E / 0.437432°S 36.542673°E / -0.437432; 36.542673
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mlima Kinangop (yaani kipepeo cha Kikuyu) ni kilele kimojawapo kilicho jirani na milima ya Aberdare nchini Kenya ukiwa na kimo wa mita 3,349 juu ya usawa wa bahari[1]

Kipipiri ina asili ya volikano. Unapatikana katika Hifadhi ya Taifa ya Aberdare na kaunti ya Nyandarua.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. New Encyclopædia Britannica vol. 1 (2005): "The range has an average elevation of 11000 feet (3350 m) and culminates in Oldoinyo Lesatima (13120 feet [3999 m]) and Ilkinangop (12815 feet [3906 m])."

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

0°26′15″S 36°32′34″E / 0.437432°S 36.542673°E / -0.437432; 36.542673