Mkoa wa Pwani (Benin)
Mandhari

Mkoa wa Pwani (kwa Kifaransa: Littoral) ni moja ya mikoa kumi na mbili ya Benin. Una eneo la km2 79, hivyo ndio mkoa mdogo zaidi kati ya mikoa yote nchini. Una manispaa moja tu ambayo ni mji mkuu Cotonou, jiji kubwa zaidi nchini na kitovu cha uchumi wake.
Littoral ilitengwa na mkoa wa Atlantique mnamo 1999. Ina wakazi 679,012 (2013).
| Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Pwani (Benin) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |