Mkoa wa Bay

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya mkoa wa Bay

Bay (Kisomali: Baay‎, Kiarabu: باي‎, Kiitalia: Bai) ni mkoa wa kiutawala (gobol) uliopo kusini mwa Somalia.[1]

Maelezo ya jumla[hariri | hariri chanzo]

Umepakana na mikoa mingine ya Somalia ambayo ni Bakool, Hiran, Lower Shebelle (Shabeellaha Hoose), Middle Juba (Jubbada Dhexe), na Gedo.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Somalia". The World Factbook. Langley, Virginia: Central Intelligence Agency. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-07-01. Iliwekwa mnamo 6 December 2013.  Unknown parameter |= ignored (help); Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu maeneo ya Somalia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Bay kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.