Michael Lynn Retzer

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
ichael Lynn Retzer

Michael Lynn Retzer (alizaliwa 1946), ni mwanasiasa wa Marekani, Mississippi ambaye alikuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania kuanzia mwaka 2005 hadi 2007.[1]

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Retzer alizaliwa mjini Bethesda, Maryland na Karl pamoja na Betty Retzer ana kaka wawili, Bill Retzer na Jere Retzer. Alihitimu mwaka 1968 na shahada ya fedha na masoko katika Chuo Kikuu cha Oregon Honours huko Eugene, Oregon. Kisha alifuata uongozi wa baba yake na kujiunga na Jeshi la anga la Marekani. Retzer alikuwa nahodha wa Jeshi la Anga la Marekani ambapo alipata Tuzo ya Utumishi Uliotukuka na medali ya Pongezi. Aliteuliwa rasmi katika bodi ya wakurugenzi na kamati kuu ya Benki ya Planters ya Mississippi.[2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Michael Retzer. Iliwekwa mnamo 25 March 2013.
  2. Millennium Challenge Corporation and Tanzania Announce $11 Million Threshold Program to Combat Corruption. Millennium Challenge Cooperation. Jalada kutoka ya awali juu ya 14 August 2011. Iliwekwa mnamo 25 March 2013.
  3. MCDONALD'S STORE #433 SIGN, PINE BLUFF, JEFFERSON COUNTY. Arkansas Historic Prevention Program. Iliwekwa mnamo 25 March 2013.
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Michael Lynn Retzer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.