Meja Mwangi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Meja Mwangi (alizaliwa 1948) ni miongoni mwa waandishi mashuhuri wa Kenya. Mwangi amefanya kazi katika sekta ya filamu, kama mwandishi,[[mkurugenzi msaidizi, mpiga picha na msimamizi wa eneo.|mkurugenzi msaidizi, mpiga picha na msimamizi wa eneo.

Mwangi alizaliwa Nanyuki, na kwenda shule katika Shule ya Sekondari Nanyuki, Chuo Kikuu cha Kenyatta na Chuo Kikuu cha Leeds Aliwafanyia kazi za kibarua watangazaji wa kigeni kabla ya kuamua kuwa mwandishi kamili. Alikuwa Fellow in Writing katika Chuo Kikuu cha Iowa (1975-6).

Zawadi na tuzo[hariri | hariri chanzo]

Kazi ya fasihi[hariri | hariri chanzo]

Filamu[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]