Mdumange
Mdumange ni moja ya ngoma za asili ya mkoa wa Tanga, Tanzania. Ngoma hiyo asili yake ni Usambaa na huchezwa sana na kabila la Wasambaa.
![]() |
Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mdumange kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |