Nenda kwa yaliyomo

Maryprisca Mahundi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maryprisca Winfred Mahundi ni mwanasiasa wa Tanzania na naibu waziri wa maji na kwa sasa anahudumu kama mbunge wa chama cha mapinduzi kama mwakilishi wa wanawake katika viti maalum tangu Novemba 2020.[1][2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Maryprisca Winfred Mahundi Member of Parliament Profile".
  2. "Maryprisca Mahundi's Government Cabinet Profile".
  3. "Bodi mpya ya DUWASA yazinduliwa".