Mary Pius Chatanda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mary Chatanda)

Mary Pius Chatanda (amezaliwa tarehe 5 Septemba 1959) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Korogwe Mjini kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017