Mariamu Nassoro Kisangi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mariamu Nassoro Kisangi (amezaliwa tarehe 8 Agosti 1962) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalumu kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017