Orodha ya Marais wa Angola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Marais wa Angola)

Ukarasa huu una orodha ya marais wa Angola:

Orodha[hariri | hariri chanzo]

Jamhuri ya Watu wa Angola[hariri | hariri chanzo]

# Jina
(miaka ya maisha)
Muda wa Utawala Chama
1 Agostinho Neto 11 Novemba 1975 10 Septemba 1979 MPLA
- Lúcio Lara[1] 11 Septemba 1979 20 Septemba 1979 MPLA
2 José Eduardo dos Santos 21 Septemba 1979 30 Septemba 1992 MPLA

Jamhuri ya Angola[hariri | hariri chanzo]

# Jina
(miaka ya maisha)
Muda wa Utawala Chama
(2) José Eduardo dos Santos 30 Septemba 1992 25 Septemba 2017 MPLA
3 João Lourenço 26 Septemba 2017 sasa MPLA

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Patrício Batsîkama (2014). "O testamento que validou José Eduardo dos Santos na presidência de Angola em 1979". Revista de História da África e de Estudos da Diáspora Africana (Sankofa: FCS/Universidade Agostinho Neto) (14). 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: