Hii kigezo Islam ipo katika eneo la Wikipedia:Mradi wa Vigezo, a collaborative effort to better organize, document and display all vigezo kwenye Wikipedia. Iwapo utapenda kushiriki, tafadhali tembelea ukurasa wa mradi, ambapo unaweza kujiunga na majadiliano na utazame orodha ya kazi zilizo wazi.
Riccardo, salaam! Naomba labda niweke wazi suala hili. Jamani huu ni mradi wa ushirika! Mmoja ataanzisha na mwingine atamalizia. Hivyo usisite kusawazisha pindi utapoona tatizo kama hili. Binafsi, sikuwa na uwezo wa kumalizia maelezo mengine kwa sababu sikupata maana kamili. Labda niseme tena: Siku nyingine usisubirie ruhusu - we endelea tu!!! Ahsante kwa kunitaarifu.--MwanaharakatiLonga09:17, 16 Septemba 2009 (UTC)[jibu]