Majadiliano:Wilaya ya Rorya
Weka madaMandhari
Latest comment: miaka 16 iliyopita by Kipala
Huu ni ukurasa wa majadiliano wa kuboresha makala ya Wilaya ya Rorya. | |||
---|---|---|---|
|
|
![]() | Hii ni makala ya Wilaya ya Rorya ipo katika eneo la Wikipedia:Mradi wa Tanzania, juhudi za pamoja katika kuboresha maeneo ya Tanzania kwenye Wikipedia. Iwapo utapenda kushiriki, tafadhali tembelea ukurasa wa mradi, ambapo unaweza kujiunga na majadiliano na utazame orodha ya kazi zilizo wazi. |
Nani anajua ni kata zipi zilizoingia katika wilaya mpya ya Rorya? Maana nikiangalia habari za Rorya magazetini naona majina ya miji mitatu Shirati, Utegi na Randa. Lakini majina haya hayapo katika orodha ya kata ya sensa 2002 tulipochukua majina ya kata zote. Angalia majina chini ya makala ya wilaya ya Tarime inayoonyesha takwimu ya mwaka 2002 kabla ya kuanzhishwa kwa Rorya.--Kipala (majadiliano) 16:34, 30 Januari 2009 (UTC)