Majadiliano:Tanzu za fasihi simulizi
Fasihi simulizi ina tanzu kuu nne(4)
- hadithi
- semi
- ushairi
- sanaa za maigizo\sanaa za maonesho
hadithi[hariri chanzo]
ni tungo za fasihi simulizi ambazo ni fupifupi zitumiazo lugha ya nadharia.
semi[hariri chanzo]
ni fungu za tungo za fasihi simuliziambazo ni fupifupi zenye kutumia picha tamathali na semi ya ishara.
ushairi[hariri chanzo]
ni fungu la fasihi simulizi linalojumuisha tungo zote zenye kutumia mapigo yenye utaratibu maalumu.
sanaa za maigizo\sanaa za maonesho[hariri chanzo]
Ni sanaa zinazoambatana na utendaji wa vitendo vya wahusika mbele ya hadhira.mfano michezo ya majukwaani.
sifa za tanzu za fasihi simulizi[hariri chanzo]
- kufa
- kuzaliwa
- kukua.
kila tanzu ina vipera vyake
vipera vya hadithi[hariri chanzo]
- Ngano
- Vigani
- Visasili
- Tarihi
- Soga
vipera vya semi[hariri chanzo]
- Methali
- Vitendawili
- Nahau
- Misemo
- Mafumbo
- Lakabu
- Mizungu
vipera vya ushairi[hariri chanzo]
- Shairi
- Utenzi
- Nyimbo
- Ngonjera
- Maghani
vipera vya maigizo[hariri chanzo]
- Majigambo
- Vichekesho
- Kuigiza
- Mivigha\miviga
- Ngoma