Hadi sasa tulivumilia habari za kimahali (kama vile habari kuhusu kata na pia jamii za Tanzania kama utamaduni wa makabila, lakini si juu ya ngazi ya kata) hata bila ushahidi. Maana hali halisi kwa maeneo yale karibu yote hakuna vyanzo vya kimaandishi. Upande wa wakabidhi tuliona tufanya hivyo isipokuwa kama nafasi hiyo inatumiwa kukashifu watu wengine au kukazia sifa za watu walio hai.Kipala (majadiliano)17:02, 5 Aprili 2020 (UTC)[jibu]