Majadiliano:Kubadilika wa viumbe hai

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Naomba usome Charles Darwin na Jamii:Biolojia. Itakusaidia. Pamoja na Wikipedia:Ukufunzi.

Halafu :

  • ubadilikaji - mutation
  • jeni - gene
  • mageuko ya spishi - evolution
  • vema kukumbuka interwiki.

Karibu na wasalaam! --Kipala (majadiliano) 22:58, 4 Desemba 2009 (UTC)[jibu]

Kiswahili hakikubali kichwa cha namna hii. Labda kiwe Kubadilika kwa viumbe hai. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 04:11, 13 Desemba 2009 (UTC)[jibu]
Sawa Ndugu Riccardo, Anachomaanisha ni mageuko ya spishi nisipokosei. --Kipala (majadiliano) 16:53, 14 Desemba 2009 (UTC)[jibu]
Bado kidogo nicheke, lakini kumbe jamaa mwenyewe si mwongeaji wa Kiswahili fasaha! Nakubaliana na Riccardo. Jina liko tofauti sana.--Muddyb MwanaharakatiLonga 17:04, 14 Desemba 2009 (UTC)[jibu]