Mabingobingo
Mabingobingo (Pennisetum purpureum) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mabingobingo
| ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Mabingobingo ni spishi ya manyasi inayomea ndefu sana (m 2-4,5, pengine hadi m 7,5). Hupandwa sana katika Afrika ya Mashariki ili kulisha wanyama wafugwao.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Picha[hariri | hariri chanzo]
-
Masuke
-
Kenya