Mamalia wa baharini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyangumi mmojawapo (Megaptera novaeangliae).
Hydrurga leptonyx wa jamii ya Walanyama.

Mamalia wa baharini ni mamalia wa majini ambao wanaishi na kupata riziki zao baharini. Ni wanyama wa spishi mbalimbali (129) jamii ya mamalia ambazo hazihusiani kwa asili, ila zimefuata njia zinazofanana kidogo katika kuzoea kwa kiasi tofauti mazingira hayo badala ya kuendelea kuishi katika nchi kavu[1][2].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Kaschner, K.; Tittensor, D. P.; Ready, J.; Gerrodette, T.; Worm, B. (2011). "Current and Future Patterns of Global Marine Mammal Biodiversity". PLoS ONE 6 (5): e19653. Bibcode:2011PLoSO...619653K. PMC 3100303. PMID 21625431. doi:10.1371/journal.pone.0019653. 
  2. Pompa, S.; Ehrlich, P. R.; Ceballos, G. (2011-08-16). "Global distribution and conservation of marine mammals". Proceedings of the National Academy of Sciences 108 (33): 13600–13605. Bibcode:2011PNAS..10813600P. PMC 3158205. PMID 21808012. doi:10.1073/pnas.1101525108. 

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Perrin, W. F.; Wursig, B.; Thewissen, J. G. M. (2009). [[[:Kigezo:Google books]] Encyclopedia of Marine Mammals] (toleo la 2nd). San Diego: Academic Press. ISBN 978-0-0809-1993-5. OCLC 316226747. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mamalia wa baharini kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.