Sakuramachi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 15: Mstari 15:
[[fr:Sakuramachi]]
[[fr:Sakuramachi]]
[[ja:桜町天皇]]
[[ja:桜町天皇]]
[[la:Imperator Sacuramati]]
[[mr:साकुरामाची]]
[[pl:Sakuramachi]]
[[pl:Sakuramachi]]
[[pt:Imperador Sakuramachi]]
[[pt:Imperador Sakuramachi]]

Pitio la 02:05, 23 Novemba 2007

Sakuramachi (8 Februari, 172028 Mei, 1750) alikuwa mfalme mkuu wa 115 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Teruhito. Tarehe 13 Aprili, 1735 alimfuata baba yake, Nakamikado, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 9 Juni, 1747. Aliyemfuata ni mwana wake, Momozono.