Norman Haworth : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 35 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q204600 (translate me)
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q204600 (translate me)
 
Mstari 12: Mstari 12:
[[Jamii:Watu waliopewa cheo cha "Sir"]]
[[Jamii:Watu waliopewa cheo cha "Sir"]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Kemia]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Kemia]]

[[bn:ওয়াল্টার নর্মান হেওয়র্থ]]

Toleo la sasa la 11:51, 11 Machi 2013

Norman Haworth

Walter Norman Haworth (19 Machi 188319 Machi 1950) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa anajulikana kwa kuchunguza mfumo wa vitamini C. Mwaka wa 1937, pamoja na Paul Karrer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia. Mwaka wa 1947 alipewa cheo cha "Sir".

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Norman Haworth kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.