William Golding : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeondoa: diq:William Golding |
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza az:Uilyam Qoldinq |
||
Mstari 17: | Mstari 17: | ||
[[an:William Golding]] |
[[an:William Golding]] |
||
[[ar:ويليام غولدنغ]] |
[[ar:ويليام غولدنغ]] |
||
[[az:Uilyam Qoldinq]] |
|||
[[be:Уільям Голдынг]] |
[[be:Уільям Голдынг]] |
||
[[be-x-old:Ўільям Голдынг]] |
[[be-x-old:Ўільям Голдынг]] |
Pitio la 13:12, 13 Februari 2013
William Gerald Golding (19 Septemba, 1911 – 19 Juni, 1993) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aliandika riwaya, kwa mfano "Bwana wa Nzi" (kwa Kiingereza Lord of the Flies) iliyotolewa mwaka wa 1954. Mwaka wa 1983 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi. Mwaka wa 1988 alipewa cheo cha Sir cha Uingereza.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu William Golding kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |