Visiwa vya Cocos (Keeling) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Robot: Modifying eu:Cocos (Keeling) uharteak to eu:Cocosak
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza arz:جزر كوكوس
Mstari 13: Mstari 13:
[[af:Kokoseilande]]
[[af:Kokoseilande]]
[[ar:جزر كوكس]]
[[ar:جزر كوكس]]
[[arz:جزر كوكوس]]
[[az:Kokos adaları]]
[[az:Kokos adaları]]
[[be:Какосавыя астравы]]
[[be:Какосавыя астравы]]

Pitio la 08:03, 15 Desemba 2012

Ramani ya Visiwa vya Keeling (Cocos)
Mahali pa Visiwa vya Keeling (Cocos)

Visiwa vya Cocos (Keeling) ni eneo la ng'ambo la Australia katika Bahari Hindi. Eneo lao ni atolli mbili katikati ya Australia na Sri Lanka, takriban 3685 km upande wa magharibi ya Durban (Australia) na 1,300 km upande wa kusini ya Singapur. Anwani ya kijiografia ni 12°07′S, 96°54′E.

Eneo lote la nchi kavu ni 14.4 km² na idadi ya wakazi takriban watu 700.