Kimondo cha Mbozi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
interwiki |
||
Mstari 9: | Mstari 9: | ||
[[Jamii:Wilaya ya Mbozi]] |
[[Jamii:Wilaya ya Mbozi]] |
||
[[Jamii:Gimba la angani]] |
[[Jamii:Gimba la angani]] |
||
[[en:Mbozi meteorite]] |
|||
[[pl:Mbozi (meteoryt)]] |
Pitio la 07:14, 3 Mei 2011
Kimondo cha Mbozi ni kimondo ambacho kimeanguka kutoka angani karibu na kijiji cha Vwawa. Kinakadiriwa kuwa na uzito wa zaidi ya tani 12, kilianguka katika kilima cha Mlenje, wilayani Mbozi katika mkoa wa Mbeya, Tanzania.
Kina maumbile maalum tofauti na vimondo vingine vinavyopatikana ulimwenguni kwa kuwa hiki ni cha chuma.