Elki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: fr:Alces alces
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: be-x-old:Лось
Mstari 26: Mstari 26:
[[bat-smg:Brėidis]]
[[bat-smg:Brėidis]]
[[be:Лось]]
[[be:Лось]]
[[be-x-old:Лось]]
[[bg:Лос]]
[[bg:Лос]]
[[bo:ཤ་བ་ནོག་ལྡན།]]
[[bo:ཤ་བ་ནོག་ལྡན།]]

Pitio la 19:25, 12 Machi 2011

Mbawala Mkubwa
Mbawala Mkubwa (Alces alces)
Mbawala Mkubwa (Alces alces)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Artiodactyla (Mamalia wanaokanyaga kwa kwato mbili-mbili)
Familia: Cervidae (Wanyama walio na mnasaba na kulungu)
Nusufamilia: Capreolinae (Wanyama wanaofanana na mbawala)
Jenasi: Alces
Spishi: A. alces

Mbawala Mkubwa (Alces alces) ni mnyama wa Nusudunia ya Kaskazini mwenye kichwa kirefu wa familia Cervidae. Dume wa spishi hii wana pembe kubwa.