Robert Penn Warren : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ko:로버트 펜 워런
Mstari 24: Mstari 24:
[[ko:로버트 펜 워런]]
[[ko:로버트 펜 워런]]
[[la:Robertus Penn Warren]]
[[la:Robertus Penn Warren]]
[[mk:Роберт Пен Ворен]]
[[nl:Robert Penn Warren]]
[[nl:Robert Penn Warren]]
[[nn:Robert Penn Warren]]
[[nn:Robert Penn Warren]]

Pitio la 16:32, 3 Februari 2011

Robert Penn Warren

Robert Penn Warren (24 Aprili, 190515 Septemba, 1989) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Hasa aliandika riwaya na mashairi. Mwaka wa 1947, alipokea Tuzo ya Pulitzer kwa riwaya yake All the King's Men (Wanaume wote wa Mfalme"). Kwa mashairi yake, alipokea Tuzo ya Pulitzer mara mbili, miaka ya 1958 na 1979.


Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Robert Penn Warren kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.