Kibulgaria : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: sco:Bulgarian leid
d roboti Nyongeza: rw:Ikibulugariya
Mstari 113: Mstari 113:
[[ro:Limba bulgară]]
[[ro:Limba bulgară]]
[[ru:Болгарский язык]]
[[ru:Болгарский язык]]
[[rw:Ikibulugariya]]
[[sco:Bulgarian leid]]
[[sco:Bulgarian leid]]
[[se:Bulgáriagiella]]
[[se:Bulgáriagiella]]

Pitio la 18:32, 19 Januari 2011

Kibulgaria (kwa Kibulgaria: български език, bălgarski ezik [ˈbɤ̞lgɐrski ɛˈzik]) ni moja kati ya Lugha za Kihindi-Kiulaya kinachozungumzwa zaidi katika nchi ya Bulgaria. Kibulgaria ni moja katika Muungano wa Lugha za Balkan, ambayo inajumlisha Kigiriki, Kimasedonia, Kiromania, Kialbania na Kitorlakia ambacho kina lafudhi ya lugha ya Kiserbia. Kibulgaria kinafanana kabisa na Kimsedonia na Kiserbia, ambavyo vyote vina asili moja ya Slavoni - Kibulgaria.

А а
[a]
Б б
[b]
В в
[v]
Г г
[g]
Д д
[d]
Е е
[ɛ]
Ж ж
[ʒ]
З з
[z]
И и
[i]
Й й
[j]
К к
[k]
Л л
[l]
М м
[m]
Н н
[n]
О о
[ɔ]
П п
[p]
Р р
[r]
С с
[s]
Т т
[t]
У у
[u]
Ф ф
[f]
Х х
[x]
Ц ц
[ʦ]
Ч ч
[ʧ]
Ш ш
[ʃ]
Щ щ
[ʃt]
Ъ ъ
[ɤ̞], [ə]
Ь ь
[◌ʲ]
Ю ю
[ju]
Я я
[ja]

Viungo vya nje

Jifunzi Kibulgaria

Taarifa za Kiisimu

Kamusi

Zinginezo