William Golding : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 35: Mstari 35:
[[no:William Golding]]
[[no:William Golding]]
[[pl:William Golding]]
[[pl:William Golding]]
[[pms:William Golding]]
[[pt:William Golding]]
[[pt:William Golding]]
[[ro:William Golding]]
[[ro:William Golding]]

Pitio la 22:45, 22 Mei 2007

William Gerald Golding (19 Septemba, 191119 Juni, 1993) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aliandika riwaya, kwa mfano "Bwana wa Nzi" (kwa Kiingereza Lord of the Flies) iliyotolewa mwaka wa 1954. Mwaka wa 1983 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi. Mwaka wa 1988 alipewa cheo cha Sir cha Uingereza.