Bogota : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sco:Bogotá
d roboti Nyongeza: sh:Bogota
Mstari 120: Mstari 120:
[[scn:Bogotà]]
[[scn:Bogotà]]
[[sco:Bogotá]]
[[sco:Bogotá]]
[[sh:Bogota]]
[[simple:Bogotá]]
[[simple:Bogotá]]
[[sk:Bogota]]
[[sk:Bogota]]

Pitio la 19:22, 3 Oktoba 2010


Jiji la Bogota
Nchi Kolumbia
Tovuti:  www.bogota.gov.co
Kanisa la kale la Bogota

Bogota au kwa jina kamili Santa Fe de Bogotá ni mji mkuu wa Kolombia pia mji mkubwa wa nchi mwenye wakazi milioni saba takriban.

Mji uko katika nyanda za juu kwenye kimo cha 2,640 m juu ya UB kati ya milima ya Guadalupe (3,317 m) na Monserrate (3,100 m).

Mji ulianzishwa na Mhispania Gonzalo Jiménez de Quesada tar. 6 Agosti 1538 kwenye mahali pa soko la Wachibcha lililoitwa "Bacata". Quesada alitumia jina la "Santa Fe" (kihisp.: "imani takatifu") kutokana na mji wa Hispania alikotokea mwenyewe.

Baadaye mji uliongezewa jina la pili "Bogota" kutokana na jina asilia "Bacata". Jina kamili lilikuwa "Santa Fe de Bogota".

Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bogota kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Kigezo:Link FA