Owen Chamberlain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
+jamii
Mstari 24: Mstari 24:
[[pl:Owen Chamberlain]]
[[pl:Owen Chamberlain]]
[[pt:Owen Chamberlain]]
[[pt:Owen Chamberlain]]
[[ru:Чемберлен, Оуэн]]
[[sl:Owen Chamberlain]]
[[sl:Owen Chamberlain]]
[[sv:Owen Chamberlain]]
[[sv:Owen Chamberlain]]

Pitio la 05:47, 19 Machi 2007

Owen Chamberlain (10 Julai, 192028 Februari, 2006) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alifanya utafiti wa fizikia ya kiini na kugundua vipande vingi vya atomu. Mwaka wa 1959, pamoja na Emilio Segre alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.