Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: la:Dialectus Graeca Communis
d roboti Nyongeza: sh:Koine grčki
Mstari 34: Mstari 34:
[[ro:Limba greacă comună]]
[[ro:Limba greacă comună]]
[[ru:Койне]]
[[ru:Койне]]
[[sh:Koine grčki]]
[[sk:Helenistické koiné]]
[[sk:Helenistické koiné]]
[[sv:Koine]]
[[sv:Koine]]

Pitio la 04:24, 26 Novemba 2009

Kiyunani - jina hilo ni la Kiswahili cha kale kwa "Kigiriki", ambayo ni lugha ya nchi ya Ugiriki ("Uyunani") au tabia za Wagiriki ("Wayunani").

Neno la kale limetokana na lugha ya Kiarabu اليونان likatumikiwa hasa katika matoleo mbalimbali ya Biblia. Miaka ya nyuma neno la "Kigiriki" likasambaa zaidi, kutokana na athira ya Kiingereza kinachotumia "Greek" kutokana na tamko ya Kilatini "Graeci" ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya. Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", lugha yao "Helleniki".