Minsk : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: an:Minsk
d roboti Nyongeza: an:Minsk; cosmetic changes
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Belarus-Minsk-Cathedral of Holy Spirit-3.jpg|thumb|right|Kanisa la Roho Mtakatifu mjini Minsk]]
[[Picha:Belarus-Minsk-Cathedral of Holy Spirit-3.jpg|thumb|right|Kanisa la Roho Mtakatifu mjini Minsk]]
[[Image:Victory-square.jpg|right|300px|thumb|Uwanja wa Ushindi katikati ya mji wa Minsk]]
[[Picha:Victory-square.jpg|right|300px|thumb|Uwanja wa Ushindi katikati ya mji wa Minsk]]
'''Minsk''' au '''Miensk''' (Мінск ([[Kibelarus]]) ni [[mji mkuu]] na mji mkubwa nchini [[Belarus]]. Idadi ya wakazi ni watu milioni 1.8. Mji ulikua kando la mto [[Svislach (mto)|Svislach]].
'''Minsk''' au '''Miensk''' (Мінск ([[Kibelarus]]) ni [[mji mkuu]] na mji mkubwa nchini [[Belarus]]. Idadi ya wakazi ni watu milioni 1.8. Mji ulikua kando la mto [[Svislach (mto)|Svislach]].


Jina la mji wa Minsk lilitajwa mara ya kwanza mwaka [[1067]]. Mwaka [[1326]] ulikuwa sehemu ya dola la [[Lithuania]] ukapata cheo cha [[mji]] mwaka [[1499]]. Tangu [[1793]] Minsk ilikuwa sehemu ya [[Dola la Urusi]].
Jina la mji wa Minsk lilitajwa mara ya kwanza mwaka [[1067]]. Mwaka [[1326]] ulikuwa sehemu ya dola la [[Lithuania]] ukapata cheo cha [[mji]] mwaka [[1499]]. Tangu [[1793]] Minsk ilikuwa sehemu ya [[Dola la Urusi]].


Baada ya mapinduzi ya kikomunisti Minsk ilikuwa mji mkuu wa [[Jamhuri ya Kisoshalisti ya Kisovyeti ya Belorus]] ndani ya [[Umoja wa Kisovyeti]].
Baada ya mapinduzi ya kikomunisti Minsk ilikuwa mji mkuu wa [[Jamhuri ya Kisoshalisti ya Kisovyeti ya Belorus]] ndani ya [[Umoja wa Kisovyeti]].




Mstari 11: Mstari 11:
{{mbegu-jio-Ulaya}}
{{mbegu-jio-Ulaya}}


[[Category:Miji mikuu Ulaya]]
[[Jamii:Miji mikuu Ulaya]]
[[Category:Belarus]]
[[Jamii:Belarus]]


[[af:Minsk]]
[[af:Minsk]]

Pitio la 23:19, 19 Juni 2009

Kanisa la Roho Mtakatifu mjini Minsk
Uwanja wa Ushindi katikati ya mji wa Minsk

Minsk au Miensk (Мінск (Kibelarus) ni mji mkuu na mji mkubwa nchini Belarus. Idadi ya wakazi ni watu milioni 1.8. Mji ulikua kando la mto Svislach.

Jina la mji wa Minsk lilitajwa mara ya kwanza mwaka 1067. Mwaka 1326 ulikuwa sehemu ya dola la Lithuania ukapata cheo cha mji mwaka 1499. Tangu 1793 Minsk ilikuwa sehemu ya Dola la Urusi.

Baada ya mapinduzi ya kikomunisti Minsk ilikuwa mji mkuu wa Jamhuri ya Kisoshalisti ya Kisovyeti ya Belorus ndani ya Umoja wa Kisovyeti.


Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Minsk kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.