Nuevo León : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
mbegu-jio |
||
Mstari 31: | Mstari 31: | ||
{{ |
{{mbegu-jio}} |
||
[[Category:Majimbo ya Mexiko]] |
[[Category:Majimbo ya Mexiko]] |
Pitio la 09:28, 16 Juni 2009
Nuevo León (León mpya, ufalme wa kale katika Hispania) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kaskazini-mashariki ya nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Monterrey.
Imepakana na Coahuila, Tamaulipas na San Luis Potosí. Upande wa kaskazini kuna mpeka na Marekani (kilomita 15 pekee).
Jimbo lina wakazi wapatao 4,199,292 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 64,210.
Gavana wa jimbo ni Natividad González Parás.
Lugha rasmi ni Kihispania.
Miji Mikubwa
- Monterrey (1,133,814)
- Guadalupe (691,931)
- San Nicolás de los Garza (476,761)
- Santa Catarina (259,896)
- San Pedro Garza García (122,009)
Viungo vya Nje
Estado de Nuevo León Sitio oficial
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|