Robert Penn Warren : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: uk:Роберт Пенн Воррен |
d roboti Nyongeza: ko:로버트 펜 워렌 |
||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
[[hi:राबर्ट पेन वारेन]] |
[[hi:राबर्ट पेन वारेन]] |
||
[[it:Robert Penn Warren]] |
[[it:Robert Penn Warren]] |
||
[[ko:로버트 펜 워렌]] |
|||
[[pl:Robert Penn Warren]] |
[[pl:Robert Penn Warren]] |
||
[[ru:Уоррен, Роберт Пенн]] |
[[ru:Уоррен, Роберт Пенн]] |
Pitio la 09:55, 30 Machi 2009
Robert Penn Warren (24 Aprili, 1905 – 15 Septemba, 1989) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Hasa aliandika riwaya na mashairi. Mwaka wa 1947, alipokea Tuzo ya Pulitzer kwa riwaya yake All the King's Men (Wanaume wote wa Mfalme"). Kwa mashairi yake, alipokea Tuzo ya Pulitzer mara mbili, miaka ya 1958 na 1979.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |