Saint-Denis (Reunion) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: cs:Saint-Denis (Réunion)
d roboti Nyongeza: eu:Saint-Denis (Réunion)
Mstari 30: Mstari 30:
[[en:Saint-Denis, Réunion]]
[[en:Saint-Denis, Réunion]]
[[es:Saint-Denis (Reunión)]]
[[es:Saint-Denis (Reunión)]]
[[eu:Saint-Denis (Réunion)]]
[[fi:Saint-Denis de la Réunion]]
[[fi:Saint-Denis de la Réunion]]
[[fr:Saint-Denis (La Réunion)]]
[[fr:Saint-Denis (La Réunion)]]

Pitio la 03:54, 2 Desemba 2008

Kitovu cha Saint-Denis na misikiti ya Noor-e-Islam
Localisation de Saint-Denis.
Nyumba ya manisipaa na nguzo ya ushindi

Saint-Denis (au Saint-Denis de la Réunion) ni mji mkuu wa eneo la ng’ambo la Ufaransa (yajulikana kwa Kifaransa kama "département d'outre-mer") la Réunion ambayo ni kisiwa kimoja cha funguvisiwa ya Maskarena katika Bahari Hindi.

Saint-Denis ni pia mji mkubwa wa kisiwa ikiwa na wakazi 131,557 (mwaka 1999).

Historia

Saint-Denis ilianzishwa na Mfaransa Étienne Régnault mnamo mwaka 1669 ikawa mji mkuu wa kisiwa mwaka 1738.

Usafiri

Kuna kiwanja cha ndege cha Aéroport de la Réunion Roland Garros ambayo ni geti ya kisiwa kwa safari za kimatifa. Bandari kuu ya kisiwa iko Pointe-des-Galets nje ya mji.


Viungo vya nje