Saint-Denis (Reunion) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: cs:Saint-Denis (Réunion) |
d roboti Nyongeza: eu:Saint-Denis (Réunion) |
||
Mstari 30: | Mstari 30: | ||
[[en:Saint-Denis, Réunion]] |
[[en:Saint-Denis, Réunion]] |
||
[[es:Saint-Denis (Reunión)]] |
[[es:Saint-Denis (Reunión)]] |
||
[[eu:Saint-Denis (Réunion)]] |
|||
[[fi:Saint-Denis de la Réunion]] |
[[fi:Saint-Denis de la Réunion]] |
||
[[fr:Saint-Denis (La Réunion)]] |
[[fr:Saint-Denis (La Réunion)]] |
Pitio la 03:54, 2 Desemba 2008
Saint-Denis (au Saint-Denis de la Réunion) ni mji mkuu wa eneo la ng’ambo la Ufaransa (yajulikana kwa Kifaransa kama "département d'outre-mer") la Réunion ambayo ni kisiwa kimoja cha funguvisiwa ya Maskarena katika Bahari Hindi.
Saint-Denis ni pia mji mkubwa wa kisiwa ikiwa na wakazi 131,557 (mwaka 1999).
Historia
Saint-Denis ilianzishwa na Mfaransa Étienne Régnault mnamo mwaka 1669 ikawa mji mkuu wa kisiwa mwaka 1738.
Usafiri
Kuna kiwanja cha ndege cha Aéroport de la Réunion Roland Garros ambayo ni geti ya kisiwa kwa safari za kimatifa. Bandari kuu ya kisiwa iko Pointe-des-Galets nje ya mji.
Viungo vya nje
- Ukurasa rasmi wa mji (Kifaransa)