Maunzilaini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Kipala alihamisha ukurasa wa Programu tete hadi Software: "programu tete" haijulikani, twende na neno la Kiingereza linalotumiwa na wote
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Maunzilaini''' (pia: '''maunzi laini'''<ref>Maunzi laini au maunzilaini ni pendekezo la Kamusi ya [[KSK]]; Orodha za Microsoft na Kilinux hutumia "programu" [https://web.archive.org/web/20120806015358/http://www.kilinux.udsm.ac.tz/kiblog/documents/glossary/sw_TZ_Extended_glossary.xls klnX IT Extended Glossary May 2009]</ref>, kwa Kiingereza ''software'') ni jumla ya [[Programu ya kompyuta|programu]] na [[data]] zinazodhibiti utendaji wa kazi ya kompyuta. Ni tofauti na mashine ya kompyuta yenyewe inayotajwa kama [[maunzingumu]] au hardware.
'''Programu tete''' (kwa [[Kiingereza]]: ''software'') ni mkusanyo wa maelezo yasiyo tendaji yaliyotunzwa katika [[kumbukumbu]] ya [[tarakilishi]] ili kuweza kuchakata [[takwimu]] fulani pindi itakapohitajika kufanya hivyo.


==Marejeo==
Mfano wa programu tete ni Mifumo tendaji (Os) na [[Kamusi Kuu ya Kiswahili]].
{{marejeo}}


* Kiputuputi, Omari (2011). Kamusi Sanifu ya Kompyuta, Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Toleo la Kwanza 2011, ISBN 978 9987 531 127
Programu tete ni kinyume cha [[Vifaa (tarakilishi)|vifaa]].

Pia kuna nakala ngumu ambazo huzalishwa na vifaa vya [[TEHAMA]] kama vile Mashine za kunakili maandishi (''Photocopy Machine'') nakala hizo hutokana na nakala tete (''Softcopy'') ambazo aghalabu huundwa au hutunzwa kwenye [[tarakilishi]]


{{tech-stub}}
{{tech-stub}}

Pitio la 18:01, 18 Novemba 2020

Maunzilaini (pia: maunzi laini[1], kwa Kiingereza software) ni jumla ya programu na data zinazodhibiti utendaji wa kazi ya kompyuta. Ni tofauti na mashine ya kompyuta yenyewe inayotajwa kama maunzingumu au hardware.

Marejeo

  1. Maunzi laini au maunzilaini ni pendekezo la Kamusi ya KSK; Orodha za Microsoft na Kilinux hutumia "programu" klnX IT Extended Glossary May 2009
  • Kiputuputi, Omari (2011). Kamusi Sanifu ya Kompyuta, Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Toleo la Kwanza 2011, ISBN 978 9987 531 127
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.